| NURDIN BAKARI |
![]() |
| NADIR HAROUB 'CANNAVARO' |
Mmoja ya viongozi wa klabu hiyo alisema jana
kwamba wachezaji hao wanafanya hivyo wakati wakijua ni kinyume na
taratibu za wachezaji wa klabu hiyo.
Alisema uongozi umekuwa
ukichukizwa na tabia za wachezaji hao, kwani ni utovu wa nidhamu na kama
wataendelea nayo watawachukulia hatua kali.
Hivi karibuni Simba pia iliwaadhibu wachezaji wake Mussa Mgosi kwa tabia kama hiyo na Kelvin Yondan ambaye alitoroka kambini.

0 comments:
Post a Comment