TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, April 21, 2011

VIONGOZI WA VODACOM WAKUTANA NA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

6:52 PM


Rais wa Uganda Yoweri Kabuta Museven, akisalimiana na Mkuu wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba, wakati rais huyo na wakuu wengine wa Jumuiya za Afrika Mashariki, walipokutana na wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi Vodacoma Tanzania. Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na wafanyakazi hao wa Vodacom.
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo ya Vodacom kwa ajili ya kumbukumbu.picha na muhidini sufiani

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA