TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 2, 2011

UWANJA WA NAMFUA SINGIDA WAWEKWA VIPIMO VIPYA….!!!

4:41 PM
Mratibu wa mradi wa elimu kupitia michezo ( Education Through Spots) Anold Bugado akiweka vipimo vipya uwanja wa Namfua.
Viongozi wa chama cha soka mkoa wa singida SIREFA wakiweka vipimo vipya kwenye uwanja wa michezo wa Namfua mjini singida.
Haya ni magoli ya zamani ambayo yamevunjwa kutokana na kutokuwa na vipimo sahihi  sasa yatawekwa magoli mapya.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO, SINGIDA).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA