TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 2, 2011

MZEE NGURUMO ALAZWA

4:40 PM
Kiongozi wa moja ya bendi kongwe zaidi nchini Msondo Ngoma "Baba Y a Muziki" Muhidin Gurumo amelazwa tena katika hospitali ya taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu kujaa maji.
Habari zaidi zinasema kuwa hali ya Gurumo bado haijetengamaa hivyo wapenzi wa burudani na watanzania kwa ujumla mnaombwa kuendelea kumuombea dua Maalim Gurumo ili mwenyezi mungu aweze kumponya na tumuone tena jukwaani kusukuma mbele gurudumu la sanaa Tanzania.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA