Kiongozi
wa moja ya bendi kongwe zaidi nchini Msondo Ngoma "Baba Y a Muziki"
Muhidin Gurumo amelazwa tena katika hospitali ya taifa Muhimbili
kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu kujaa maji.
Habari
zaidi zinasema kuwa hali ya Gurumo bado haijetengamaa hivyo wapenzi wa
burudani na watanzania kwa ujumla mnaombwa kuendelea kumuombea dua
Maalim Gurumo ili mwenyezi mungu aweze kumponya na tumuone tena
jukwaani kusukuma mbele gurudumu la sanaa Tanzania.
|
0 comments:
Post a Comment