TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, April 5, 2011

UKWELI UKO WAPI KUHUSU TIBA YA BABU?.

6:42 PM
Wagonjwa wote wa kisukari waliokunywa dawa kwa Mchungaji Ambilikile Masapile ‘Babu’ kijijini Samunge, Loliondo watakufa (au watapukutika) ikiwa wataacha kutumia dawa za hospitalini, Uwazi limegundua.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa gazeti hili, watu wengi waliokunywa dawa ya Babu ambao walikuwa na ugonjwa wa kisukari wamefariki dunia baada ya kuacha kutumia dawa za hospitalini... Soma zaidi; http://www.globalpublishers.info

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA