TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, April 12, 2011

SHEIKH YAHYA ATABIRI VIONGOZI KUTEKWA NYARA!!!

3:03 PM
Taarifa kwa vyombo vya habari:

VIONGOZI KUTEKWA NYARA
UTABIRI WA MWEZI APRILI:

"Kuanzia tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya biashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Viongozi hao wachukue tahadhari nyakati zao za kutembea na wanaposafiri kwani pana uwezekano wasirudi, utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Nyota pia zinalenga wake na masahiba ya viongozi hao mashuhuri".

Sheikh Yahya Hussein.
Mnajimu Mkuu Afrika Mashariki na Kati
P.O.B0X 21250 DAR ES SALAAM
TEL: +255 75 4672464

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA