Taarifa kwa vyombo vya habari:
VIONGOZI KUTEKWA NYARA
UTABIRI WA MWEZI APRILI:
"Kuanzia
tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya
biashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na
kufanywa kama bidhaa.
Viongozi
hao wachukue tahadhari nyakati zao za kutembea na wanaposafiri kwani
pana uwezekano wasirudi, utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na
wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na
wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Nyota pia zinalenga wake
na masahiba ya viongozi hao mashuhuri".
Sheikh Yahya Hussein.
Mnajimu Mkuu Afrika Mashariki na Kati
P.O.B0X 21250 DAR ES SALAAM
TEL: +255 75 4672464
0 comments:
Post a Comment