TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, April 6, 2011

Rais Kikwete ashiriki Mazishi ya Aliyekuwa katibu mkuu wa TRAWU Marehemu Sylvester Rwegasira jijini dar leo.

10:13 PM


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Sylvester Rwegasira wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo jioni katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la aliyekuwa Katibu mkuu wa TRAWU Marehemu Sylvester Raphael Rwegasira wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. (picha na Freddy Maro).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA