| Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam, Charles Kenyela, akiwaonyesha waandishi
wa habari magunia ya bangi yaliyokamatwa jijini Dar es Salaam jana
wakati wa Operesheni ya 'Zuia Uhalifu jijini' inayoendelea ambapi pia
polisi walifanikiwa kukamata na pikipiki moja yenye namba za usajili ZNZ
52709 aina ya Honda DX inayosadikiwa kutumika kinyume na malengo kwa
kufanyia uhalifu kutokana na pikipiki hiyo kuwa na namba za usajiri 2
Yaani Plate namba mbili. |
0 comments:
Post a Comment