TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 8, 2011

MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA MBEYA AJIUNGA CCM.

10:53 PM
MWENYEKITI wa CCM, Rais  Jakaya Kikwete, akiwatambulisha rasmi wanachama wapya wa CCM, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Sambweli Shitambala (kulia) na alikuwa aliyekuwa Katibu Mwenezi chama hicho Wilaya ya Ileje mkoani humo, Henry Kayuni , baada ya wote wawili kutangaza kukihama chama chao na kujiunga na CCM, katika hafla   iliyofanyika kwenye  viwanja vya Makao Mkuu ya CCM mjini Dodoma, leo. (Picha na Freddy Maro).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA