TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 9, 2011

MAKAA YA MAWE KUANZA KUCHIMBWA MWEZI UJAO NGAKA NA LIGANGA

2:25 PM
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tancoal Energy, Graeme Robertson, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mradi wa uchimbaji wa makaa ya mawe utakaosimamiwa na Shirika la NDC na Kampuni kutoka Afrika Kusini. Mradi huo unatarajiwa kuanza mwezi ujao katika Wilaya za Ngaka na Liganga.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tancoal Energy, Graeme Robertson, akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhuria kwenye 'Presentation' hiyo.(picha na sufiani mafoto).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA