TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, April 3, 2011

Hafla ya uzinduzi wa Nembo mpya ya Rangi Nyekundu ya vodacom leo jijini dar.

10:26 PM


Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Hussein Bashe (kushoto) akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Nembo ya Rangi Nyekundu ya kampuni hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kempinsk Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi Vodacom, Dietlof Mare .
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi Vodacom, Dietlof Mare, akizungumza kuelezea maudhui ya nembo ya rangi nyekundu ya Vodacom.
Mwanamuziki Flora Kinasha, akiimba jukwaani na bendi yake wakati akitoa burudani kwenye uzinduzi huo. warembo waliokuwa wakitoa huduma ya kukaribisha na kuelekeza wageni kwenye hafla hiyo, wakipozi kwa picha.
Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla hiyo wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mkurugenzi wa Vodacom.
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Aficanashe, wakitoa burudani jukwaani, wakati wa uzinduzi huo.
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari walioahudhuria hafla hiyo .
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari walioahudhuria hafla hiyo
Baadhi ya wageni waalikwa katka hafla hiyo wakifuatilia kwa makini kilichokuwa kikiendelea jukwaani.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA