TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 9, 2011

BREAKING NEEWZ, WANAMUZIKI WA BENDI YA EXTRA BONGO WAPATA AJALI .

2:21 PM
Wanamuzki wa bendi ya Extra Bongo iliyo chini ya uongozi wa Kamalade Ally Choki, wamepata ajali mbaya alfajiri ya leo wakati wakitoka katika onyesho lao lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jana usiku.
Gari lililokuwa limewabeba wanamuziki hao limepata ajali hiyo maeneo ya Magomeni na baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo wamejeruhiwa na kukimbbizwa katika Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya matibabu.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA