Watanzania hatujui kujenga hata siku moja sasa huyu jamaa hapa juu anaponda nn?...wwe kama unao uwezo wa kumleta TID tuletee TID sasa unalia lia wakti huna lolote unalolifanya bana?..aisee usiwe muongeaji sana kuliko utendaji..mi nawapongeza waandaaji wa hii shoo manake tutapataa hata pa kusherehekea pasaka manake duuh!....sikukukuuu hzi zinatupitaga tu!
3 comments:
hawa wazushi, si ndo tarehe walitangaza watamleta tid?au wamefulia?maana hao waandaji ni wazushi mno, lazima wagombane kila time kisa mgao wa hela
Watanzania hatujui kujenga hata siku moja sasa huyu jamaa hapa juu anaponda nn?...wwe kama unao uwezo wa kumleta TID tuletee TID sasa unalia lia wakti huna lolote unalolifanya bana?..aisee usiwe muongeaji sana kuliko utendaji..mi nawapongeza waandaaji wa hii shoo manake tutapataa hata pa kusherehekea pasaka manake duuh!....sikukukuuu hzi zinatupitaga tu!
Ebana daah sana tu black n Yellow tutajiachia si Pasaka bana kumbe tulale ndani?...tutapumzika kusoma siku iyo...kitu gaaaaaaaaaaaaaan
Post a Comment