| Wanajeshi wakilifikisha jeneza lenye mwili kwenye eneo la kaburi |
| Kisha mazishi kwa mujibu wa dini yake ya Kiislamu yakafanywa. Hapa wahusika wameingia kaburini tayari kuzika. |
| Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Abdulrahman Shimbo (kushoto) akiungana na waombolezaji wengine kuomba dua baada ya mazishi hayo. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga, Meja Jenerali Mstaafu, Saidi Kalembo. |
| Kisha JWTZ wakatoa heshima ya Kijeshi kwenye kaburi |
| Askari wa JWTZ wakirindimisha mizinga 13 kwa heshima ya kijeshi ya mazishi hayo |
0 comments:
Post a Comment