Waziri
wa Ujenzi, Dk John Magufuli( kushoto) akisisitiza umuhimu wa
uharikishaji wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni ili kurahisisha usafiri
baina ya Kigamboni na maeneo ya mjini. Magufuli alitoa kauli hiyo leo
Machi 25, 2011 jijini Dar es salaam wakati akikagua eneo ambalo Daraja
hilo linatarajiwa kujengwa na NSSF kwa ushirikiano na Wizara ya Ujenzi
na litagharimu zaidi ya shilingi bilioni 130 hadi litakapokamilika.
|
1 comments:
Naanza kutoa shukrani mapema kama kweli litajengwa
Post a Comment