| Msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukiingia katika eneo la Ofisi ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, leo |
| Rais Kikwete akimsalimia Katibu Mkuu wa wizara hiyo, George Yambesi. Katikati ni Waziri wa wizara hiyo, Hawa Ghasia na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick |
0 comments:
Post a Comment