TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, March 4, 2011

HAYA SIO MAADILI YA KITANZANIA

7:59 PM


Mwanamke huyu ambaye jina lake halikuweza kupatikana akipita katika maeneo ya Biafra karibu na kituo cha mabasi huku akiwa ameshiklia kiloba cha Konyagi huku akivuta sigara akiwa kama unavyo muona vijana kwa watumwazima walianza kumkodolea macho huku akina mama wakimchangiampesa aweze kuchukua tax lakini aliamua kununulia pombe ya kiloba . majira ya saa 3 asubuhi
Mfanyabiashara wa  sigara katika kituo cha mabasi yaendayo mwenge eneo la kanisani akimsaidia moto mama huyo.
Kama kawaida huyu mama haoni aibu anatishia kwa kunengua mitaani, watu wanasema kuwa alichelewa kazini.


Mwanamke mwenzagu hebu kavae ngua vizuri na chukua pesa hii kodi tax unanitia aibu mama wa mkono wa kulia anamwambia mwenzake.

1 comments:

malkiory said...

Huyu kazidisha kusema ukweli. Heri hata angukuwa bado binti, lakini inaonesha ni mtu mzima ovyo.

Post a Comment

 
BONYA HAPA