TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 3, 2011

Extra Bongo Kutambulisha ' Wakali Wapya' Kesho

5:30 PM


Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo Ally Choki

Bendi maarufu kwa kutoa burudani ya muziki wa Dansi nchini Extra Bongo wana Next Level, kesho Machi 4 watafanya onesho kali la utambulisho wa wanamuziki wake wapya waliojiunga na bendi hiyo hivi karibuni. Onesho hilo litafanyika katika ukumbi wa New Msasani.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA