Rais
Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto),Rais Mohamed Ould Abdel Aziz wa
Mauritania(wapili kushoto),Kiongozi wa Upinzani wa Ivory Coast Alassane
Ouattarra na Rais wa Afrika ya Kusini Jackob Zuma wakiwa katika
mazungumzo katika hoteli ya Golf jijini Abidjan jana mchana
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na kiongozi wa upinzani wa Ivory Coast
Alassane Ouattara(Katikati) pamoja na Rais wa Chad Idriss Deby(kulia)
muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo ya upatanishi katika hoteli ya
Golf iliyopo jijini Abidjan jana mchana.Picha: Freddy Maro-IKULU

0 comments:
Post a Comment