TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, February 23, 2011

Rais Jakaya kikwete Aendelea na Kazi ya Upatanishi Ivory Coast

6:05 PM
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto),Rais Mohamed Ould Abdel Aziz wa Mauritania(wapili kushoto),Kiongozi wa Upinzani wa Ivory Coast Alassane Ouattarra na Rais wa Afrika ya Kusini Jackob Zuma wakiwa katika mazungumzo katika hoteli ya Golf jijini Abidjan jana mchana
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na kiongozi wa upinzani wa Ivory Coast Alassane Ouattara(Katikati) pamoja na Rais wa Chad Idriss Deby(kulia) muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo ya upatanishi katika hoteli ya Golf iliyopo jijini Abidjan jana mchana.Picha: Freddy Maro-IKULU

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA