TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, February 21, 2011

Jacob Nayajiego akitoa Heshima za Mwisho Mbele ya Majeneza Yaliyohifadhi Miili ya Marehemu Mke Wake na Watoto Wake Wawili

9:13 PM
Jacob Nyajiego(mwenye suti nyeusi) akipita kutoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yaliyohifadhi miili ya marehemu mke wake, Rozi Nyajiego(34) na watoto wake wawili,Clementina Nyajiego(4)na Stella Nyajiego(miezi 3)waliokufa kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba wakati wa milipuko ya mabomu.Ibada ya kuwaaga ilifanyika nyumbani kwake Mzambarauni,Gongo la Mboto Dar es Salaam. Miili ya marehemu hao ilisafirishwa kwenda Rorya, mkoani Mara kwa maziko.Picha na Fadhili Akida
Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Willibrod Slaa akiwa na Mke wake kwenye mazishi ya mama na watoto wake wawili kutoka familia moja ya Jacob Nyajengo wa Mzambarauni,waliokufa kwa kuangukiwa na nyumba ya jirani, kutokana mabomu yaliyolipuka kutoka ghala la Silaha katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo la Mboto,Dar es Salaam.Mheshimiwa Dk Wilbrod Slaa alifuatana pia na wabunge kadhaa kwa tiketi ya chama hicho.Picha hii na Mdau Bashir Nkromo

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA