Baada ya kupelekwa kituoni kwa kile kilichodaiwa kurecord video ya maafa
eneo la gongo la mboto na kurecord vipande vya mabomu ambavyo bado
vilikuwa vipo maeneo ya jirani, hatimae wameruhusiwa kuitumia video hiyo
baada ya kufanyiwa uchunguzi ila amethibitisha kuwa kuna vipande
ambavyo vimetolewa na havitaonekana kwenye video hiyo ya ngoma yao
inayoitwa gongo la mboto.
2011 GRAMMY Nominees

0 comments:
Post a Comment