TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, December 11, 2010

SHEREHE YA UHURU BANGALORE

1:39 PM

TANZANIA STUDENTS ASSOCIATION OF BANGALORE
Uongozi wa waTanzania waishio Bangalore India chini ya Mwenyekiti Jumanne Rajabu Mtambalike (pichani) tunaungana na waTanzania wote walioko India na ulimwenguni kwa ujumla kusherekea sikukuu yetu ya uhuru.
Ndani ya miaka hii 49 ya uhuru na amani tunaipongeza serikali ya Jamhuri ya muungano waTanzania chini ya Muheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.Pia tunakumbusha idara usika kwamba tovuti ya serikali kuu” http://www.Tanzania.go.tz“ inasumbua kupatikana kitaalamu ina DOS (Denial of service) na siku kama hizi ndio watu wanaitembelea sana hivyo wajitahidi kufanya iwezekanavyo iwe hewani haraka iwezekanavyo kwani tunakosa kuitangaza nchi yetu.
Tunakumbusha wanajumuiya wa TASABA sherehe ya miaka 49 ya uhuru Bangalore itakua ukumbi wa (WHITE TIGER –KAMANNALI JUMAMOSI HII) na JUMAPILI kutakua na bonanza la michezo ACHARYA COLLEGE kwa ajili ya uhuru karibuni wote.
Mwenyekiti TASABA
Jumanne R.Mtambalike.
+919901837490
mtambalike@yahoo.co.uk

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA