TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, December 9, 2010

LEO NI SIKU YA UHURU: Mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika

9:36 AM

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na bango
la 'Uhuru Kamili' Tisa Desemba, 1961
Meja Alexander Gwebe Nyirenda akifikisha mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro usiku wa kuamkia siku ya Uhuru ili umulike nje ya mipaka yote, uleteeeee tumaini. Meja Alexander Gwebe Nyirenda na mwenye
wa Uhuru alioupandisha Kilimanjaro.
Afande huyu ni mmoja wa mashujaa wa
Uhuru wasioimbwa (Unsung Heroes)

Mwalimu Julius Nyerere na Meja Nyirenda
wakati wa mnuso wa siku ya Uhuru.

Soma mahojiano ya Meja Nyirenda BOFYA HAPA

Jikumbushe historia kamili ya Tanganyika BOFYA HAPA

Siku aliyotutoka Meja Nyirenda BOFYA HAPA

Mazishi ya Meja Nyirenda BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA