la 'Uhuru Kamili' Tisa Desemba, 1961
Meja Alexander Gwebe Nyirenda akifikisha mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro usiku wa kuamkia siku ya Uhuru ili umulike nje ya mipaka yote, uleteeeee tumaini.
Meja Alexander Gwebe Nyirenda na mwenye
wa Uhuru alioupandisha Kilimanjaro.
Afande huyu ni mmoja wa mashujaa wa
Uhuru wasioimbwa (Unsung Heroes)
Mwalimu Julius Nyerere na Meja Nyirenda
wakati wa mnuso wa siku ya Uhuru.
Meja Alexander Gwebe Nyirenda akifikisha mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro usiku wa kuamkia siku ya Uhuru ili umulike nje ya mipaka yote, uleteeeee tumaini.
Meja Alexander Gwebe Nyirenda na mwenye wa Uhuru alioupandisha Kilimanjaro.
Afande huyu ni mmoja wa mashujaa wa
Uhuru wasioimbwa (Unsung Heroes)
Mwalimu Julius Nyerere na Meja Nyirenda wakati wa mnuso wa siku ya Uhuru.
Soma mahojiano ya Meja Nyirenda BOFYA HAPA
Jikumbushe historia kamili ya Tanganyika BOFYA HAPA
Siku aliyotutoka Meja Nyirenda BOFYA HAPA
Mazishi ya Meja Nyirenda BOFYA HAPA

0 comments:
Post a Comment