Wakati huo huo habari zilizotua katika mtandao huu hivi punde kutoka mkoani Mbeya zinadai kuwa basi la kampuni ya Hood LTD ambalo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda mbeya limepinduka na kujeruhi japo katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha
AJALI YAJERUHI IRINGA, BASI LA HOOD NALO LAPINDUKA INYARA MBEYA
Wakati huo huo habari zilizotua katika mtandao huu hivi punde kutoka mkoani Mbeya zinadai kuwa basi la kampuni ya Hood LTD ambalo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda mbeya limepinduka na kujeruhi japo katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha
0 comments:
Post a Comment