TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, November 5, 2010

usalama wa Taifa watoa tamko dhidi ya tuhuma za Dk. Slaa

10:50 AM

Naibu Mkurugenzi Idara ya Usalama wa Taifa Bw. Jacky Mugendi Zoka akizungumza na waandishi wa habari leo katika mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Southern Sun jijini Dar wakati alipotoa taarifa ya kupinga madai ya Dk Willbrod Slaa Mgombea urais wa CHADEMA kuwa idara hiyo imeshiriki katika kuchakachua Kura za mgombea huyo wa urais.
Naibu Mkurugenzi huyo amesema wananchi wampuuze Dk Slaa kwa kauli yake kwani madai yake hayana ukweli wowote na ameongeza kwamba idara yake haijajihusisha kabisa na masuala ya uchaguzi hivyo madai hayo ni ya kuipaka matope idara hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA