Kwa wanafunzi wa Tanzania waishio New -Delhi,
wanataarifiwa kuwa kutakuwepo na
Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa viongozi katika nafasi za :
1. Mwenyekiti
2.Makamu wa Mwenyekiti
3..Katibu Mkuu.
4. Mweka Hazina.
5.Kiongozi wa Burudani na Naibu wake.
Uchaguzi unatarajiwa kufanyika Jumamosi November 23,2010.
1. Mwenyekiti
2.Makamu wa Mwenyekiti
3..Katibu Mkuu.
4. Mweka Hazina.
5.Kiongozi wa Burudani na Naibu wake.
Uchaguzi unatarajiwa kufanyika Jumamosi November 23,2010.
SAA NANE MCHANA ,
Kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania zilizopo
CHANAKYA PURI, NEW DELHI.
Wale wote wanaotaka kuwania nafasi hizo hapo juu wawasilishe majina yao kwa JANE BALAMA :Phone number 9910767930.
Wanafunzi wote mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.
Mwenyekiti
Jennifer Sumi
Wale wote wanaotaka kuwania nafasi hizo hapo juu wawasilishe majina yao kwa JANE BALAMA :Phone number 9910767930.
Wanafunzi wote mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.
Mwenyekiti
Jennifer Sumi
0 comments:
Post a Comment