TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, November 8, 2010

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA WANAFUNZI WA TANZANIA WAISHIO DELHI.

7:30 AM

Kwa wanafunzi wa Tanzania waishio New -Delhi,
wanataarifiwa kuwa kutakuwepo na
Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa viongozi katika nafasi za :
1. Mwenyekiti
2.Makamu wa Mwenyekiti
3..Katibu Mkuu.
4. Mweka Hazina.
5.Kiongozi wa Burudani na Naibu wake.

Uchaguzi unatarajiwa kufanyika Jumamosi November 23,2010.
SAA NANE MCHANA ,
Kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania zilizopo
CHANAKYA PURI, NEW DELHI.

Wale wote wanaotaka kuwania nafasi hizo hapo juu wawasilishe majina yao kwa JANE BALAMA :Phone number 9910767930.

Wanafunzi wote mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.
Mwenyekiti
Jennifer Sumi

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA