Waziri wa Mambo ya Nje wa Swaziland Mh. Lutfo Dlamini akisaini katika kitabu cha wageni akiangaliwa na Balozi wetu Msumbiji Mh. P. Ngaiza (shoto) na Afisa ubalozi Bw. Ndallahwa wakati wa ufunguzi wa ofisi ya ubalozi mdogo wa heshima (Honorary Consul) mjini Manzini leo.tanzania yafungua ubalozi mdogo wa heshima swaziland
Waziri wa Mambo ya Nje wa Swaziland Mh. Lutfo Dlamini akisaini katika kitabu cha wageni akiangaliwa na Balozi wetu Msumbiji Mh. P. Ngaiza (shoto) na Afisa ubalozi Bw. Ndallahwa wakati wa ufunguzi wa ofisi ya ubalozi mdogo wa heshima (Honorary Consul) mjini Manzini leo.
0 comments:
Post a Comment