TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, June 7, 2010

9:58 PM
Mpiganaji Athman Hamis akitoa shukurani zake leo kwenye ukumbi wa Idara ya habari Maelezo kwa watu mbalimbali waliomsaidia na wanaoendelea kumsaidia katika matatizo yake mara baada ya kupata ajali mwaka juzi.
Athman akiongozana na muuguzi wake toka Netcare Rehabilitation hospital ya afrika kusini Faith Nhlapo, amemshukuru Rais Jakaya Kikwete, serikali, madaktari wa Muhimbiri na Afrika Kusinipamoja na watu mbalimbali kwa misaada ya khali na mali toka kupata ajali.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA