basi dogo aina ya Toyota Hiace lenye nambari za usajili T 185 AFD likiwa limezunguwa na wanachi mara baada ya kupinduka mchana huu.basi hilo lifanyalo safari zake kati ya Mbagara rangi tatu - Mbandelilipata ajali hiyo mara baada yadereva wa gari hilo kushindwakulikontroo katika kona kali sana iliyopo katika eneo ya Mwembe Bamia,Mbagala Mbande.
0 comments:
Post a Comment