TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, June 7, 2010

Ajali mbagala mbande leo

10:00 PM

basi dogo aina ya Toyota Hiace lenye nambari za usajili T 185 AFD likiwa limezunguwa na wanachi mara baada ya kupinduka mchana huu.basi hilo lifanyalo safari zake kati ya Mbagara rangi tatu - Mbande lilipata ajali hiyo mara baada ya dereva wa gari hilo kushindwa kulikontroo katika kona kali sana iliyopo katika eneo ya Mwembe Bamia,Mbagala Mbande.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA