TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, February 18, 2010

17 waliokatwa mapanga Tanzania wazikwa

1:08 AM
Watu hao wa ukoo mmoja waliouawa usiku wa kuamkia Jumanne mjini Musoma,kaskazini mwa Tanzania wamezikwa Jumatano jioni.

Maelfu ya wananchi walihudhuria maziko hayo,huku serikali ya Tanzania ikiahidi kuwasaka watuhumiwa wa mauaji hayo.

Nyasinde Kawawa, msichana mwenye umri wa miaka 21 alikuwa mwenye huzuni kubwa huku majeneza 17 yakiwekwa mbele ya nyumba.

Babake,mamake,ndugu zake watano na binamu yake wote waliuawa kwenye tukio hilo.

Nyasinde alinusurika kifo kwa kuwa ameolewa na anaishi mbali na nyumbani kwao.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA