TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, November 12, 2009

ANATAKA CHAKE

11:12 PM
Mfanyakazi wa Kampuni ya kuegesha magari nchini (TPS) akimkunja kijana anayeshughulika na kuegesha magari katika mtaa wa Samora, walikuwa wakigombania fedha ambazo inasemekana kuwa kijana huyo alichukua kutoka kwa mteja aliyeegesha gari lake mahala hapo

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA