Mwenyekiti wa Kikao cha Mawaziri wa Sheria na Wanasheria Wakuu kutoka nchi za Afrika Mashariki, Tharcisse Karugarama (2 kushoto) akiongoza kikao cha kujadili na kuangalia kuwa Itifaki ya Soko la Pamoja inakidhi mahitaji ya kisheria kabla haijakabidhiwa kwa mawaziri wenye dhamana na Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Home
»
»Unlabelled
» Soko la Pamoja E.A
Soko la Pamoja E.A
12:13 PM
Mshirikishe Mwezako Kupitia:
0 comments:
Post a Comment