Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, leo anakutana na vyombo vya habari kuzungumzia kuhusu maendeleo ya majukumu ya kamati yake iliyoundwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi CCM) kufuatilia mienendo ya wabunge wanaoishambulia serikali kwa ufisadi ndani na nje ya Bunge.Mzee Mwinyi kunguruma leo
Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, leo anakutana na vyombo vya habari kuzungumzia kuhusu maendeleo ya majukumu ya kamati yake iliyoundwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi CCM) kufuatilia mienendo ya wabunge wanaoishambulia serikali kwa ufisadi ndani na nje ya Bunge.
0 comments:
Post a Comment