Kocha Mkuu wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic akisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu hiyokatika hoteli ya Movenpick jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Shoto ni Mwenyekiti wa klabuhiyo, Iman Madega na kulia ni Katibu Mipango, Patrick Fata. Juu na chini ni kocha mpya wa timu ya Yanga, Mserbia, Kostadin Papic, akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST). Kocha huyo ameanza kazi rasmi baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja
0 comments:
Post a Comment