TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, October 16, 2009

Kocha mpya wa yanga amwaga wino, aanza kazi

1:38 PM

Kocha Mkuu wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic akisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu hiyo katika hoteli ya Movenpick jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Shoto ni Mwenyekiti wa klabu hiyo, Iman Madega na kulia ni Katibu Mipango, Patrick Fata.
Juu na chini ni kocha mpya wa timu ya Yanga, Mserbia, Kostadin Papic, akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST). Kocha huyo ameanza kazi rasmi baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA