TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, October 7, 2009

Anne Kilango Malecela ALONGA...

10:08 PM
MBUNGE wa Same Mashariki, mkoani Kilimanjaro, Anne Kilango Malecela, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu ushirikiano wake na Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Tangawizi, Mamba jimboni kwake, kuandaa harambee ya chakula cha jioni, Oktoba 16 mwaka huu, kuchangisha Sh bilioni 1.5 kwa ajili ya ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha kusindika tangawizi.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA