Home
»
»Unlabelled
» KISWAHILI NACHO CHATUMIKA INDIA,NI KATIKA HOSPITALI INAYOUSIKA NA MATIBABU YA FIGO (MADRAS MEDICAL MISSION) KATIKA JIJI LA CHENNAI
KISWAHILI NACHO CHATUMIKA INDIA,NI KATIKA HOSPITALI INAYOUSIKA NA MATIBABU YA FIGO (MADRAS MEDICAL MISSION) KATIKA JIJI LA CHENNAI
Hi ni moja ya kielelezo kinachoonyesa wapi duka la dawa lilipo kwa lugha ya kiswahili (mdau Fares lyimo katika pozi) hili ndo jengo kuu la MADRAS MEDICAL MISSION nikiwa nimepata nafasi pia ya kuwatembelea wangonjwa katika hosp. hiyo pichani ni Dr. Sam akimuguza mke wake katika hospitali hiyo
0 comments:
Post a Comment