Wananchi wa Kijiji cha Kidunda, kilichopo ng'ambo ya mto Ruvu katika Tarafa ya Ngerengere, Wilaya ya Morogoro mkoani Morogoro wakivuka mto huo uliopungua kina cha maji kutokana na uharibifu wa mazingira na kuongezea kwa idadi ya mifugo kijijini hapo.(Picha na John Nditi).
0 comments:
Post a Comment