TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, August 28, 2009

Chris Brown ahukumiwa Kifungo cha nje miezi 6

8:41 AM
Mwanamziki wa R-N-B, Chris Brown jana amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi sita na adhabu na amepewa muda wa miaka mitano asije akafanya kosa lolote. Kifungo hicho kinafuatia kitendo cha

Chris Brwon kumpiga na kumwumiza mpenzi wake wa zamani ambaye pia ni mwanamziki, Rihanna.

Jaji Patricia Schnegg amemwambia Chris Brown kuwa akifanya kosa lolote, katika kipindi cha miaka mitano, atatupwa jela. Chris Brown atatumikia adhabu hiyo ya kazi ngumu akiwa uraiani kwenye jimbo lake la Virginia.

Bofya na soma ripoti jinsi Chris Brown alivyompiga Rihanna.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA