TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, September 5, 2009

Jaji Stella Longway astaafu

9:09 AM

Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania Mh. Mary Herrit Chibibi Stella Longway (nyuma shoto) akiwasili chumba namba 1 cha mahakama kuu tayari kwa sherehe ya kumuaga rasmi baada ya kuitumikia idara ya mahakama wka miaka 35. Hafla hiyo ilisimamiwa na Jaji Kiongozi Mh. Fakih Jundu na kuhudhuriwa na majaji wastaafu na wali kazini wa mahakama ya rufaa, mahakama kuu na familia
sehemu ya waheshimiwa wakati wa shughuli hiyo
Mh. Mary Herriet Chibibi Stella Longway akisoma risala yake ya kuaga
Katika picha ya pamoja na majaji
picha ya pamoja na wana familia

picha ya pamoja na wafanyakazi wa mahakama kuu kitengo cha ardhi ambacho Mh. Longway alikuwa akikiongoza
Mh. Longway na majaji wastaafu wenzie, toka shoto Mh. John Mrosso, Mh. Damian Lubuva, Mh. Longway, Mh. Robert Kisanga na kulia ni Jaji Kiongozi Mh. Fakih Jundu.
akihojiwa na TBC 1

akiwa na bintiye Juliana na mai mkwe wake
akiwa na mabinti wa Hamza Azizi ambao familia zao zimeishi pamoja toka enzi ya mwalimu na tanu


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA