TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, January 26, 2015

URAIS 2015: JANUARI MAKAMBA VS MWIGULU NCHEMBA NGOMA NZITO!

7:04 PM

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba (41).HOMA ya Uchaguzi Mkuu 2015 inazidi kupanda. Wapo baadhi ya wagombea wa urais ambao tayari wameshatangaza nia hadharani lakini wengine wanaendeleza harakati zao chini kwa chini.
Miongoni mwa makada ambao tayari wameonesha nia ya kutaka kugombea ni pamoja na vijana, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (40) na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba (41). 
Mwigulu ambaye ni Mbunge wa Iramba Magharibi mkoani Singida, amekuwa na mvuto wa aina yake kisiasa huku akionekana kupendwa zaidi kutokana na kujiwekea nembo yake kwenye mavazi anayovaa kwa kujifunga skafu ya bendera ya taifa. 

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA