TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, March 6, 2013

Pillay ashutumu mauwaji wa walemavu wa ngozi Tanzania, ataka wahusika wachukuliwe hatua.

12:16 PM
Kamishna wa Umoja wa Mataifa juu ya Haki za binadamu Navy Pillay ameitaka serikali ya Tanzania kuchukua hatua za hataka kukomesha vitendo vya mauwaji wa watu wenye ulemavu wa ngozi.
Amesema kuwa amevunjwa moyo na kusikitishwa juu ya taarifa za kukithiri kwa mauwaji kwa watu wenye ulemavu wa ngozi, na hivyo kutoa mwito kwa serikali kuhakikisha wahusika wa matukio hayo wanasakwa na kufikishwa mbele ya mkono wa sheria.
Kumekuwa na taarifa ya kujiri mara kwa mara kwa watu wanaodaiwa kuwa na imani za kishirikiana wanaoendesha kampeni za kuwavamia watu wenye ulemavu huo wa ngozi
Rupert Colville ni msemaji wa ofisi ya haki za binadamu

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA