TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, March 19, 2013

Majambazi yapora gari, milioni 200/-, na kujeruhi Wachina wanne kwa mapanga

12:41 AM
MAJAMBAZI 10 wakiwa na bunduki tatu pamoja na mapanga, wamevamia kambi ya Mkandarasi wa Kampuni ya SIETCO kutoka nchini China, iliyopo eneo la Igingilanyi, mkoani Iringa na kupora fedha taslimu sh. milioni 100, dola za Marekani 11,560, euro 54,910 na kuwajeruhi wachina wanne kwa mapanga.Pia majambazi hao walichukua fedha za Kishina RMB 1,600, kompyuta ndogo 13 (Laptop), kamera mbili za video, simu 12 za mkononi pamoja na gari gari lenye namba T 693 BVV aina ya Toyota Pickup. Uvamizi huo umetokea …read more
Source: Majira

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA