TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 21, 2013

Katika picha Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura baada ya kufutiwa mashtaka ya awali yaliyokuwa yanawakabili katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na kuachiwa huru na hatimae kukamatwa tena na kusomewa mashtaka mengine mahakama ya kisutu jijini Dar es Salaam Jana

8:55 PM

 Askari wa mbwa wakiimarisha ulinzi wakati wa kesi hiyo.
  Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare akionesha ishara ya vidole ambayo ni salamu kwa wafuasi wa chama chake wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana
  Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chadema, Wilfred Lwakatare akiwa na mtuhumiwa mwenzake, Ludovick Joseph wakiingia mahakamani jana
  Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare akionesha ishara ya vidole ambayo ni salamu kwa wafuasi wa chama chake wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana
  Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chadema, Wilfred Lwakatare akiwa na mtuhumiwa mwenzake, Ludovick Joseph wakiingia mahakamani jana
  Polisi wakisindikiza msafara wa gari lililompakia Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chadema, Wilfred Lwakatare kuelekea mahabusu hadi April 3 mwaka huu.
 Wafuasi wa Chadema wakiwa  wamekusanyika nje ya mahakama hiyo jana
Mwenyekiti wa Chadema an Mbunge wa Hai , Freeman Mbowe akiteta jambo na mke wa Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chama hicho, Wilfred Lwakatare jana.Picha Zote na mdau Francis Dande

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA