TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 21, 2013

Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Yakutana na Ofisi ya Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania

8:50 PM

 Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa kamati ya katiba, Sheria na Utawala wakati wa kikao na kamati hiyo iliyokutana na watendaji wa Ofisi ya Bunge kwa lengo la kupata taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi hiyo.
 Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala leo imekutana na Ofisi ya Bunge kwa lengo la kupata taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi hiyo ikiwa ni utekelezaji wa shughuli za kamati.  kama anavyoonekana Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba Sheria na Utawala Mhe. Pinda Chana akizungumza jambo katika kikao na watendaji wa Ofisi ya Bunge  wakati kamati hiyo ilipokutana na watendaji wa Ofisi ya Bunge kufuatilia utekelezaji wa majukumu ya Ofisi hiyo.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. William Ngeleja
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa kamati ya katiba, Sheria na Utawala wakati wa kikao na kamati hiyo iliyokutana na watendaji wa Ofisi ya Bunge kwa lengo la kupata taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na rasilimali watu Bi. Kitolina Kippa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA