TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, February 16, 2013

Zaidi ya shilingi Milioni 400 zinaendelea kushindaniwa katika promosheni ya Vodacom "MAHELA"

12:56 PM

Afisa bidhaa na huduma wa Vodacom Tanzania Bw.Athanas Muhanuzi(kushoto)akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1 Bw. Stanley Maliwa,aliejishindia katika  Promosheni ya"MAHELA"inayoendeshwa na kampuni hiyo,katikati ni Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo Bi.Rukia Mtingwa. Zaidi ya shilingi Milioni 400 zinaendelea kushindaniwa.
Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingwa kushoto akimsisitiza jambo Bi.Elizabeth Kavishe(kulia)wakati wa kumkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1 aliejishindia katika  Promosheni ya"MAHELA"inayoendeshwa na kampuni hiyo,katikati ni Meneja wa malipo ya baada wa kampuni hiyo Bw.Ibrahim Kiongozi. Zaidi ya shilingi Milioni 400 zinaendelea kushindaniwa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA