TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, February 26, 2013

Uhakiki wa Watumishi KCMC

11:42 AM

Wizara ya Fedha hazina ikishirikiana na Hospitali ya Rufaa KCMC inaendesha zoezi la kuhakiki watumishi ili kujiridhisha kwamba kila mtumishi anayelipwa anastahili kama kumbukumbu zinavyooneka. Watumishi wote wanatakiwa kuwasilisha vitambulisho pamoja na hati ya malipo ya Mshahara wa mwezi Januari 2012.
Kitambulisho cha mmoja wa wafanyakazi kikihakiwa na watendaji toka hazina

6TH KCMC NURSING CONFERENCE
THEME:
Cancer care: Issues  challenges and direction of evidenced based health care bofya hapa

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA