Wizara ya Fedha hazina ikishirikiana na Hospitali ya Rufaa KCMC inaendesha zoezi la kuhakiki watumishi ili kujiridhisha kwamba kila mtumishi anayelipwa anastahili kama kumbukumbu zinavyooneka. Watumishi wote wanatakiwa kuwasilisha vitambulisho pamoja na hati ya malipo ya Mshahara wa mwezi Januari 2012.
Kitambulisho cha mmoja wa wafanyakazi kikihakiwa na watendaji toka hazina
6TH KCMC NURSING CONFERENCE
THEME:
Cancer care: Issues challenges and direction of evidenced based health care bofya hapa
0 comments:
Post a Comment