TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, August 8, 2012

Uhakiki wa Watumishi KCMC

8:52 PM

Wizara ya Fedha hazina ikishirikiana na Hospitali ya Rufaa KCMC inaendesha zoezi la kuhakiki watumishi ili kujiridhisha kwamba kila mtumishi anayelipwa anastahili kama kumbukumbu zinavyooneka. Watumishi wote wanatakiwa kuwasilisha vitambulisho pamoja na hati ya malipo ya Mshahara wa mwezi Januari 2012.
Baadhi ya watumishi na watendaji wa hazina wakiendesha zoezi la kuhakiki
Kitambulisho cha mmoja wa wafanyakazi kikihakiwa na watendaji toka hazina
Mkurugenzi rasilimali watu Bw. Stanley Mmbaga (wa tatu kulia)akisimamia zoezi la uhakiki bofya hapa

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA