

Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania Taji la
Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii katika Ukumbi wa Maisha
Club, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati
warembo hao walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini
Dodoma Leo, Julai 03, 2012. Picha zote na Muhidin Sufiani
0 comments:
Post a Comment