TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, July 12, 2012

SIMBA, AZAM NANI KUTWAA KOMBE LA URAFIKI LEO?

4:51 PM



TIMU za Simba na Azam jioni ya leo zitakuwa na kibarua kigumu cha mchezo wa fainali ya kombe la Urafiki, mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshindi katika michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni 10 na mshindi wa pili atapata milioni 5.
KWA HISANI YA DINA ISMAIL

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA