TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, July 6, 2012

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi Atoa Msaada Wa Matrekta

1:24 AM
 Sehemu ya Matrekata hayo
 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akijaribu moja ya matrekta matatu aliyokabidhi kwa wawakilishi wa Kijiji cha Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma. Makabidhiano hayo yalifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi (kulia) akipga makofi wakati wa kukabidhi matrekta matatu kwa wawakilishi wa kijiji cha Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma. Makabidhiano hayo yalifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam.Picha na Mdau Dande Francis

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA